• VIPINDI VYA ELIMU HASA KILIMO

    Tuna vipindi mbalimbali vinavyohamasisha jamii katika kilimo cha Korosho, ufuta na Mhogo. tunaendelea na jamii inafurahia uwepo wa vipindi kwa sababu wanakutana na wataalamu moja kwa moja

  • SAUTI ZA WANAJAMII HUSIKIKA

    Sauti ni muhimu hasa unapohudumia jamii ya vijijini, wasikilizaji hupenda kusikia sauti zao kwakua watu wao wanawafahamu, hivyo huwa kivutio kwako na ni rahisi jamii kuamini kuwa mpo pamoja nao

  • MICHEZO MBALIMBALI

    Afya ni sehemu ya vipindi vyetu kwenye radio, hii husaidia kuwapa fursa watu wanaopenda michezo kuwa pamoja na kubadirishana mawazo, michezo hujenga urafiki na undugu baina mwa jamii

  • WATOTO KATIKA RADIO

    Hupenda kushiriki na hujiona sehemu ya radio kwa kuwa huishi katika jamii, kipindi cha watoto kimekuwa kikifuatiliwa na watu wazima kwasababu kuu moja tu, watoto waishio vijijini huwa hawapewi kipaumbele kama tulivyofanya Jamii fm

  • SIKIKA KATIKA RADIO

    Kipengere hiki hutoa fursa kwa wanajamii wanaotuzunguka kuongea moja kwa moja na kueleza hoja zao ambazo baadae hufuatiliwa kwa undani

KUANGUKA KWA TAKATAKA BARABARANI KUELEKEA DAMPO KUU LA MTWARA


Na Msafiri kipira


Wananchi wanaoishi jirani na dampo la mangamba wamelalamika kutokana na hali ya dampo, pia udondokaji wa takataka barabarani kutokana na uendeshaji wa mwendo na kusababisha udondokaji wa takataka barabarni kitendo kinachosababisha kuonekana wananchi ndio watupaji wa takataka.

Kauli ya mkazi mmoja anaefahamika kwa jina la shungi mkazi wa mangamba amewaomba wafanyakazi wa magari yanayobeba takataka kufunika vizuri pindi wanapobeba takataka ili kuepuka kudondoka kwa takataka barabarani. Sikiliza ripoti hii inahusu mazingira na kero hii katika barabara kuu inayoelekea dampo kuu la mkoa wa mtwara.

Je Diwani wa kata hii analizungumziaje jambo hili?


Share:

ATHARI ZA UKATAJI WA MITI - MTWARA


Na Karimu Faida

Kwa mujibu wa tafiti ya sera ya taifa ya misitu ya mwaka 1998, theruthi mbili ya misitu iko hatarini kuvamiwa huku Tanzania ikiathirika kwa matumizi ya mkaa. Kijiji cha Moma ni sehemu ya maeneo yaliyoathirika kutokana na matumizi mabovu ya ardhi.

Wananchi wengi hasa maeneo ya vijijini huvamia na kukata miti hovyo, pamoja na kuwepo kwa hali hiyo kumesababisha kuhama kwa wanyama pamoja na upotevu wa Mvu. Fuatilia makala haya kujua nini jitihada zinazofanyika ili kuhakikisha misitu inahifadhiwa.




Share:

IFAHAMU JAMII FM

Utangulizi
Jamii FM Radio, ilianza matangazo yake rasmi mwezi Septemba mwaka 2016. Madhumuni ya Radio hii ni kupasha Habari na kutoa fursa ya Mawasiliano kwa Jamii, hasa Jamii ya vijijini. Vipindi vyake vinaandaliwa kwa namna inayogusa na kulenga maisha ya jamii ya vijijini, ikiwa ni pamoja na watu wenye mahitaji maalum kama Walemavu na watu wasiojiweza.


Radio Jamii FM hutangaza habari zinazoelimisha na kuwa Jukwaa la kubadilishana habari za maendeleo ya jamii, hivyo kutengeneza fursa huru kwa jamii kupaaza sauti. Ushirikishwaji jamii unasisitizwa katika kuandaa vipindi. Hivyo,Radio Jamii hutoa fursa kwa wasio na sauti katika Jamii kupaza sauti.

Introduction

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflects community livelihood including people with special needs. Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production. JAMII FM RADIO gives voice to the voiceless.

Jamii fm On-Air

Dira

Kuona kwamba kupitia Radio Jamii FM, Jamii ya Mikoa ya Mtwara na Lindi hasa inayoishi vijijini, inapata habari na uwezo wa kushiriki kikamilifu katika shughuli zinazohusu maendeleo yao.


Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media..

Production control room                                                                      Production room     


Dhima

Kuwezesha Jamii kutumia Vyombo vya habari katika kukuza mawasiliano shirikishi ili kujiletea maendeleo endelevu

Dhima

Kuwezesha Jamii kutumia Vyombo vya habari katika kukuza mawasiliano shirikishi ili kujiletea maendeleo endelevu


Eneo
Kituo cha Radio Jamii kipo Kitongoji cha Naliendele, kilichopo umbali wa kilometa 9 kutoka Mtwara Mjini katika barabara inayoelekea Newala. Kituo hiki kipo mkabala na Kituo cha Utafiti wa Mazao ya Kilimo, Naliendele, Mtwara

Location

JAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.



Located at mtwara

News Room


Eneo la Huduma
Radio Jamii inamiliki Mnara wenye urefu wa Mita 60 unaowezesha Kituo kurusha matangazo na kufikia idadi kubwa ya wakazi wa eneo hili kuanzia Manispaa ya Mtwara na kusambaa hadi kufikia Nanyamba, Tandahimba, Newala, Masasi, Nachingwea, Lindi na baadhi ya maeneo yanayoambaa kwenye mpaka wetu na Nchi jirani ya Msumbuji

Coverage:
JAMII FM RADIO owns its 60 meters transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.

 
Adminstration

Ratiba ya Vipindi
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1300hrs – Habari kwa ufupi
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 – 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat

0000 – 0600hrs – Music Mix

Programme Schedule
0600 – 1000hrs – Dira ya Asubuhi
1000 – 1300hrs – Kapu la Jamii
1300 – 1300hrs – Habari kwa ufupi
1300 – 1600hrs – Mchakamchaka
1600 – 1610hrs – Habari (News Bulletin)
1610 – 1800hrs – Sauti ya Jamii
1800 – 1900hrs – Radio France International (RFI)
1900 – 1910hrs – Habari (News Bulletin)
1910 – 2000hrs – Dimba la Michezo (Sports)
2000 – 2100hrs – Makala Maalum
2100 – 2200hrs – Usiku Mwema
2200 – 0000hrs – Love Boat

0000 – 0600hrs – Music Mix

Share:

Ahadi ya Rais Magufuli kwa waandishi wa Habari

Share:

Jamii fm tower

Share:

Jamii fm radio construction

Share:

Kejo Mtata - shida video mix

Share:

Sikiliza jamii FM Radio

🎧 Jamii FM Live

IDADI YA WASOMAJI

HABARI ZA HIVI PUNDE

Blog Archive

WAENDESHA WEBSITE

Contact Form



1 ] )[0]; $title = $recent_post['post_title']; $excerpt = wp_trim_words( $recent_post['post_content'], 20 ); $image = get_the_post_thumbnail_url( $recent_post['ID'], 'full' ); ?>