ATHARI ZA UKATAJI WA MITI - MTWARA


Na Karimu Faida

Kwa mujibu wa tafiti ya sera ya taifa ya misitu ya mwaka 1998, theruthi mbili ya misitu iko hatarini kuvamiwa huku Tanzania ikiathirika kwa matumizi ya mkaa. Kijiji cha Moma ni sehemu ya maeneo yaliyoathirika kutokana na matumizi mabovu ya ardhi.

Wananchi wengi hasa maeneo ya vijijini huvamia na kukata miti hovyo, pamoja na kuwepo kwa hali hiyo kumesababisha kuhama kwa wanyama pamoja na upotevu wa Mvu. Fuatilia makala haya kujua nini jitihada zinazofanyika ili kuhakikisha misitu inahifadhiwa.




Share:

No comments:

Sikiliza jamii FM Radio

🎧 Jamii FM Live

IDADI YA WASOMAJI

HABARI ZA HIVI PUNDE

Blog Archive

WAENDESHA WEBSITE

Contact Form



1 ] )[0]; $title = $recent_post['post_title']; $excerpt = wp_trim_words( $recent_post['post_content'], 20 ); $image = get_the_post_thumbnail_url( $recent_post['ID'], 'full' ); ?>