TAHADHARI KUTOKA MAMLAKA YA HALI YA HEWA


DAR ES SALAAM

 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania -TMA- imetoa tahadhari ya vipindi vifupi vya mvua kubwa vinatarajiwa kuwepo katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya  Rukwa, Mbeya, Songwe, Iringa, Njombena Ruvuma.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Vipindi vifupi vya upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita mbili vinatarajiwa katika maeneo ya mikoa ya Tanga. Dar es salaam, Pwani, Lindi na Mtwara pamoja na Visiwa vya Unguja na Pemba.


Mwananchi wa maeneo husika mnaombwa kuchukua Tahadhari
Share:

No comments:

Sikiliza jamii FM Radio

🎧 Jamii FM Live

IDADI YA WASOMAJI

HABARI ZA HIVI PUNDE

Blog Archive

WAENDESHA WEBSITE

Contact Form



1 ] )[0]; $title = $recent_post['post_title']; $excerpt = wp_trim_words( $recent_post['post_content'], 20 ); $image = get_the_post_thumbnail_url( $recent_post['ID'], 'full' ); ?>