Waziri Mwigulu amelitaka Jeshi la Polisi kuchunguza kwa kina tukio hilo na kujua undani wake nini na kuwaambia wananchi nini kinachoendelea.
“Mataifa mengine mtu akiuwawa shighuli zote zinasimama, tusiweke haya mazoea ya watu wanapotepotea kama mtu kapuliza dawa ya mbu kama jambo la kawaida tu, wafanye uchunguzi kwa kina kujua nani amehusika na tukio hili,” alisema Waziri Mwigulu.
Ameongeza kusema kuwa maswala ya demkrasia huamukiwa kwa peni na karatasi na si kwa panga,lungu wala mkuki.






No comments:
Post a Comment