Kamati Maalum iliyoundwa na
Rais Dkt. Magufuli na Kampuni ya Bharti Airtel yameanza rasmi leo tarehe 12
Machi, 2018 Jijini Dar es Salaam. 
Tuna vipindi mbalimbali vinavyohamasisha jamii katika kilimo cha Korosho, ufuta na Mhogo. tunaendelea na jamii inafurahia uwepo wa vipindi kwa sababu wanakutana na wataalamu moja kwa moja
Sauti ni muhimu hasa unapohudumia jamii ya vijijini, wasikilizaji hupenda kusikia sauti zao kwakua watu wao wanawafahamu, hivyo huwa kivutio kwako na ni rahisi jamii kuamini kuwa mpo pamoja nao
Afya ni sehemu ya vipindi vyetu kwenye radio, hii husaidia kuwapa fursa watu wanaopenda michezo kuwa pamoja na kubadirishana mawazo, michezo hujenga urafiki na undugu baina mwa jamii
Hupenda kushiriki na hujiona sehemu ya radio kwa kuwa huishi katika jamii, kipindi cha watoto kimekuwa kikifuatiliwa na watu wazima kwasababu kuu moja tu, watoto waishio vijijini huwa hawapewi kipaumbele kama tulivyofanya Jamii fm
Kipengere hiki hutoa fursa kwa wanajamii wanaotuzunguka kuongea moja kwa moja na kueleza hoja zao ambazo baadae hufuatiliwa kwa undani
Kamati Maalum iliyoundwa na
Rais Dkt. Magufuli na Kampuni ya Bharti Airtel yameanza rasmi leo tarehe 12
Machi, 2018 Jijini Dar es Salaam. 
Mkutano wa 62 wa Kamisheni ya hali
ya wanawake duniani, CSW umeanza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa
jijini New York, Marekani.
Mwanasheria Jebra Kambole na Wakili
wa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo amefunguka
na kusema kuwa mpaka sasa ameshindwa kuonana wala kuongea na mteja wake huyo
ambaye anashikiliwa na jeshi la polisi.
Chama tawala nchini Burundi CNDD/FDD kimemtangaza Rais Pierre Nkurunzinza kama kiongozi mkuu wa kudumu au kiongozi wa milele ndani ya chama hicho.
Katibu tawala wa wilaya ya NANYUMBU mkoani MTWARA, SALUM PALANGO
, March 10 mwaka huu 2018 katika Siku ya Mazoezi Kitaifa, amemuagiza Kaimu
Mkurugenzi wa wilaya hiyo NDG. HAMZA SEIF MNALIWA, kuwachukulia hatua za
Kinidhamu watumishi wapatao 50 wa Kata ya LIKOKONA, walioshindwa
kuhudhuria katika Mazoezi hayo yanayofanyika nchi nzima kila Jumamosi ya Wiki
ya pili ya mwanzo mwa Mwezi.
Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu Machi 14,2018 atafanyiwa upasuaji wa 19 katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Leuven nchini Ubelgiji.
Mamlaka ya hali ya hewa iliyopo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania imewatahadharisha wananchi kuwepo kwa hali mbaya ya hewa katika maeneo ya mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara ndani ya saa 24 kuanzia leo.
Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage kuhakikisha wamiliki wa viwanda vya ndani wanaajiri wazawa.?php>